Meneja Mwandamizi Kitengo cha Amana, Bima na Huduma za ziada wa Benki ya NMB, Bw. Stephen Adili (kulia) akizungumza na vijana katika kampeni zilizowakutanisha vijana na kujadili changamoto mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuhamasisha vijana nchini kupata uelewa wa masuala ya fedha pamoja na kuwaunganisha na taasisi zinazowainua vijana kimitaji.

No comments:
Post a Comment