Tuesday, March 21, 2017

UBALOZI WA MAREKANI WATOA MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI KWA WANAMITANDAO
Mkurugenzi
wa Mtandao wa www.fullshangweblog.com Bw. John Bukuku akipokea cheti cha
kuhitimu mafunzo ya uandishi wa habari (Multmedia Journalisim) kutoka kwa
Mkufunzi Ricci Shriyock kutoka nchini Senegal mara baada ya kuhitimu mafunzo
hayo yaliyoandaliwa , kufadhiliwa na Kufanyika kwenye Ubalozi wa Marekani
jijini Dar es salaam nchini Tanzania washiriki wa mafunzo hayo ambao ni
wanahabari wa Mitandao ya kijamii wamekabidhiwa wamekabidhiwa vyeti hivyo leo
Ubalozini hapo.
Mwanablog
Shamim Mwasha wa 8020fashion akipokea cheti chake.
Mwanablog
Freddy Njeje wa Blog za Mikoani akipokea cheti chake.
Mwanablog
Josephat Lukaza wa Lukazablog akipokea cheti chake.
Mwanablog
Vero kutoka mkoani Arusha akipokea cheti chake.
Katibu
Msaidizi wa Chama cha Mabloga Tanzania Bloggers Network Krantz Mwantepele
ambaye pia alikuwa mratibu wa mafunzo hayo akipokea cheti chake.
Missi
Populer akipokea cheti chake mara baada ya mafunzo hayo.
Washiriki
wa mafunzo hayo wakifuatilia mada zilizotolewa.
Mkufunzi
wa Mafunzo hayo Ricci Shryock akifafanua jambo kwa washiriki wa mafunzo hayo.
Baadhi
ya washiriki wakifurahia jambo kutoka kwa mkufunzi huyo wakati wa mafunzo hayo.
Maofisa
wa Ubalozi wa Marekani pamoja na Mkufunzi huyo wakiwa katika picha ya pamoja na
washiriki wa mafunzo hayo.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
WAFANYABIASHARA MACHINGA COMPLEX JIJINI DAR ES SALAAM WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA
Older Article
EVERTON YA UINGEREZA KUTUA NCHINI HIVI KARIBUNI
Uchambuzi wa bajeti kuchochea ufanisi taasisi za umma
Hassani MakeroMar 24, 2025KAMPENI YA 'NO REFORM NO ELECTION' YAPOTEZA MWELEKEO RUKWA
Hassani MakeroMar 24, 2025TAMASHA LA KUOMBEA UCHAGUZI KUFANYIKA MIKOA YOTE TANZANIA
Hassani MakeroMar 24, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment